Uamuzi baina ya ununuzi wa dawa ama kulipa bili haufai
1,540,184 views |
Kiah Williams |
TED2020
• June 2020
Wakati bei ya madawa aagizo yanapanda Americani,maelfu ya watu wanalazimika kuacha madawa yanayookoa maisha -wakati huo viwanda na vituo vya huduma za afya wanatofoa madawa ya ziada hayajaharibika.Kiah Williams anaelezea jinsi SIRUM- kampuni isiyotengeneza faida inafikia familia inayohitaji haya madawa sana kwa madawa hayajatumika -na mpango wa kushusha gharama ya dawa kwa kusindika takribani dola bilioni kwa miaka tano ijaayo.(Mpango huu kabambe ni sehemu ya Mradi Changina,pendekezo la TED kuhamasisha na kugharamia mabadiliko ulimwenguni.)