Vimelea vya minyoo vinarudisha nyuma maendeleo ya mwanadamu. Hii ndiyo namna ya kuvitokomeza.
342,325 views |
Ellen Agler |
TED2019
• April 2019
Vimelea vya minyoo vimekuwepo tangu maelfu ya miaka, kusababisha magonjwa ambayo yanapunguza uwezo wa mwanadamu. Lakini leo, tiba bora ya kuondokana nayo inahitaji vidonge vichache tu, vikitumika mara moja au mbili kwa mwaka. Ikiwa ni watu bilioni 1.7 walio katika hatari ya maambukizi, Ellen Agler na timu yake ya mradi wa END wanatazamia dunia isiyo na ugonjwa unaosababishwa na minyoo. Jifunze ni namna gani wanafanya juhudi katika kupunguza gharama za matibabu, kuboresha kinga, kusaidia serikali na kusaidia uongozi katika jamii. Mpango huu wenye uthubutu ni moja mradi wa The Audacious, mradi ulioanzishwa na TED ili kuhamasisha na kuchangia katika mabadiliko ulimwenguni.