Tunaweza kupambana na ugaidi bila kutoa kafara haki zetu
1,174,208 views |
Rebecca MacKinnon |
TEDSummit
• June 2016
Tunaweza kupambana na ugaidi bila kuharibu demokrasia? Mwanaharakati wa Uhuru wa mtandao wa intaneti Rebecca MacKinnon anafikiri kwamba tutashindwa kwenye vita hii dhidi ya siasa kali na siasa za fujo ikiwa tutadhibiti mtandao wa intaneti na vyombo vya habari. Katika mazungumzo haya muhimu ametoa wito wa kusimama kidete kuhusu taarifa zilizodhibitiwa usiri na kuzitaka serikali kutumia njia bora kulinda, na sio kunyamazisha, waandishi wa habari na wanaharakati wanaopambana dhidi ya wenye siasa kali.