Kwanini wasichana weusi wanalengwa na adhabu shuleni -- na ni namna gani ya kubadili hilo
2,061,810 views |
Monique W. Morris |
TEDWomen 2018
• November 2018
Duniani kote, wasichana weusi wanafukuzwa mashuleni kwa sababu ya sera ambazo zinalenga kuwapa adhabu, anasema mtunzi na mwanafunzi wa haki za jamii Monique W. Morris. Matokeo: wasichana wengi wanalazimika kuishia katika maisha yasiyo salama na yaliyo na fursa finyu za kufanikiwa kimaisha. Tunawezaje kuzuia janga hili? Katika hotuba yake yenye kuvuta hisia, Morris anafunua sababu za "kufukuzwa" na anaonyesha namna gani tunaweza kufanya shule kuwa sehemu ambazo wasichana wanaweza kupona na kufanikiwa.