Shule ya kiangazi watakayo watoto
1,295,927 views |
Karim Abouelnaga |
TED2017
• April 2017
Kipindi cha kiangazi, watoto toka kaya maskini Marekani husahau karibu miezi mitatu ya walichosoma kipindi cha mwaka wa shule. Mjasiriamali wa elimu na Mshirika wa TED Karim Abouelnaga anataka kurekebisha upotevu huu wa elimu, kwa kubadili "anguko la kiangazi" kuwa fursa ya kwenda mbele na kukua kuelekea baadaye ing'arayo zaidi.