Mkakati wa Kiulimwengu Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Watoto
40,653 views |
Howard Taylor |
TEDSummit 2019
• July 2019
Kila mwaka, watoto bilioni moja wanapitia ukatili majumbani, shuleni, kwenye mitandao au jamii zao, anazungumza wakili wa usalama wa watoto Howard Taylor. Tatizo ni la kijamii, kiuchumi, kisiasa -- na haraka. Katika mazungumzo ya kufungua macho, Taylor anaonyesha kwa nini tuna fursa adimu sasa hivi kutokomeza ukatili dhidi ya watoto na kutengeneza hatma nzuri kwa kila mtoto.