Sababu tatu kwa nini hatujaitokomeza malaria
1,356,567 views |
Sonia Shah |
TEDGlobal 2013
• June 2013
Tumejua jinsi ya kutibu malaria tangu 1600,kwanini ugonjwa huu bado unaua maelfu ya mamia kila mwaka?ni zaidi ya tatizo la kitabibu,anasema mwandishi wa habari Sonia Shah.Mtazamo wa historia ya malaria unaweka wazi sababu tatu kwanini ni ngumu kutokomeza malaria