Fahad Al-Attiya: Nchi isiyokuwa na maji
1,619,452 views |
Fahad Al-Attiya |
TEDxSummit
• April 2012
Fikiri kuhusu nchi ambayo ina umeme mwingi sana -- mafuta na gesi,Mwanga wa jua,upepo(na pesa) --lakini imepungukiwa na huduma muhimu kwa ajili ya maisha: Maji. Mhandisi wa miundo mbinu Fahad Al-Attiya anaongelea njia zisizotegemewa ambazo taifa dogo la Mashariki ya Kati la Qatar linatumia kutengeneza mfumo wake wa usambazaji wa maji.