Namna Afrika inavyoweza kutumia maarifa ya kitamaduni kupiga hatua
1,328,539 views |
Chika Ezeanya-Esiobu |
TEDGlobal 2017
• August 2017
Chika Ezeanya-Esiobu anataka kuona Waafrika wakitumia ubunifu na uvumbuzi wao uliokandamizwa kwa kutambua umuhimu wa tamaduni zao, na maarifa yaliyo halisi. Katika hotuba hii yenye nguvu, anaelezea mifano inayohusu maarifa ya Kiafrika katika kilimo na utungaji sera, akiwaasa Waafrika kupiga hatua kwa kukubali na kuheshimu uhalisia wao.