Siku niliposimama peke yangu
1,523,994 views |
Boniface Mwangi |
TEDGlobal 2014
• October 2014
Mnasa picha Boniface Mwangi alitaka kupinga ufisadi nchini mwake Kenya. Hivyo aliweka mpango. Yeye na marafikize wangesimama na kupiga makelele kwenye mkutano wa hadhara. Lakini wakati huo ulipowadia…alisimama peke yake. Kilichotokea baadaye, anasimulia, kilimdhiririshia alikuwa mtu wa aina gani. Anavyosema, “Kuna siku mbili za umuhimu mkuu maishani mwako. Siku ya kuzaliwa, na siku utakavyogundua kwa nini." Picha za kuogofya.